Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The heartache that hampered Marcus Rashford: Mum reveals deaths of Man
United star's cousin and family friend 'set him back a lot' - and warns him
of 'people's intentions around him' after his partying problems
-
In a first-person piece published on Monday, Melanie Maynard said her son
struggled to come to terms with the loss of his cousin and a family friend.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment