Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Arsenal dakika ya 36 ikishinda 1-0 dhidi ya wenyeji, Napoli kwenye mchezo wa marudiano Robo Fainali UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa San Paolo mjini Napoli. Kwa matokeo hayo, Arsenal inatinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-0 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza London na sasa itamenyana na Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emmanuel Acho Announces He'll Host The Bachelor's 'After the Final Rose' Show
-
Former NFL player and current Fox Sports analyst Emmanuel Acho is going to
be hosting The Bachelor special "After the Final Rose" on March 15...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment