• HABARI MPYA

    Sunday, April 28, 2019

    WAKALI WA NDOVU YA ARUSHA 1992, RASHID CHAMA, KABURU NA LUNGU

    WACHEZAJI wa Ndovu ya Arusha kutoka kulia kiungo mshambuliaji Francis Lungu (sasa marehemu), beki Rashid Idd ‘Chama’ na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ kabla ya moja ya mechi za timu hiyo mwaka 1992 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAKALI WA NDOVU YA ARUSHA 1992, RASHID CHAMA, KABURU NA LUNGU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top