Phil Foden akiifungia bao pekee Manchester City dakika ya tano tu ikiilaza Tottenham Hotspur 1-0 leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 86 baada ya kucheza mechi 34 na kurejea kileleni, sasa ikiizidi pointi mbili Liverpool inayofuatia nafasi ya pili, mbele ya Tottenham yenye pointi 67 za mechi 34 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Steelers' Russell Wilson Takes Batting Practice Ahead of Pirates 1st
Pitch
-
The Pittsburgh Pirates have an unexpected new addition to their roster.
Steelers quarterback Russell Wilson took batting practice at PNC Park
before throwing…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment