• HABARI MPYA

    Friday, April 19, 2019

    VALENCIA YAIPIGA 2-0 VILLAREAL NA KUTINGA NUSU FAINALI ULAYA

    Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VALENCIA YAIPIGA 2-0 VILLAREAL NA KUTINGA NUSU FAINALI ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top