Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eric Comrie makes 34 saves, Winnipeg Jets top Buffalo Sabres 4-1
-
WINNIPEG — Eric Comrie made 34 saves and Kyle Connor scored his
team-leading 15th goal of the season as the Winnipeg Jets downed the
Buffalo Sabres 4-1 on ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment