Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks' Jalen Brunson Scores 61, Victor Wembanyama Electrifies NBA Fans in
Spurs Win
-
A instant classic went down in San Antonio on Friday evening as Spurs big
man Victor Wembanyama and New York Knicks guard Jalen Brunson authored epic…
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment