Beki wa Valencia, Mouctar Diakhaby akijaribu kumzuia Daniel Raba wa Villareal katika mchezo wa marudiano wa Europa League usiku wa jana Uwanja wa Mestalla. Valencia ilishinda 2-0, mabao ya Toni Lato dakika ya 13 na Dani Parejo dakika ya 54 na kutinga Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 na sasa itakutana na Arsenal PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Wedding, former Olympic snowboarder accused of running a drug empire,
is arrested
-
The Canadian was added to the FBI's Top 10 Most Wanted Fugitives list in
2025.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment