• HABARI MPYA

    Sunday, April 21, 2019

    CRAWFORD AMTANDIKA AMIR KHAN KWA TKO RAUNDI YA SITA MAREKANI

    Bondia Amir Khan akiwa chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Terence Crawford raundi ya kwanza kwenye pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo ukumbi wa Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Khan aliinuka na kuendelea na pambano kabla ya kujiuzulu raundi ya sita akidai kupigwa chini ya mkanda, hivyo Crawford kuondoka na taji lake la WBO kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) akiendeleza rekodi ya kutopoteza pambano 
      
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CRAWFORD AMTANDIKA AMIR KHAN KWA TKO RAUNDI YA SITA MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top