Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emmanuel Acho Announces He'll Host The Bachelor's 'After the Final Rose' Show
-
Former NFL player and current Fox Sports analyst Emmanuel Acho is going to
be hosting The Bachelor special "After the Final Rose" on March 15...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment