• HABARI MPYA

    Friday, April 19, 2019

    SEBASTIAN RODE AIPELEKA FRANKFURT NUSU FAINALI ULAYA

    Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SEBASTIAN RODE AIPELEKA FRANKFURT NUSU FAINALI ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top