Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment