Mohamed Salah akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 53 kufuatia Sadio Mane kufunga la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairejesha Liverpool kileleni ikifikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 34, sasa ikiizidi Manchester City pointi mbili ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers CONFIRMED as Scottish champions for the 55th time in their history
-
Rangers have dominated this season's title race from start to finish,
winning 28 and drawing four of their 32 matches, to ruin Celtic's bid for a
10th succ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment