• HABARI MPYA

    Wednesday, August 01, 2018

    SANCHEZ AFUNGA MAN UNITED WAWACHAPA REAL MADRID 2-1

    Mshambuliaji wa Manchester United, Alexis Sanchez akipongezwa na mchezaji mwenzake, Matteo Darmian baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 18  katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa kirafiki wa Mabingwa wa Kimataifa kujiandaa na msimu Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 27, wakati bao la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ AFUNGA MAN UNITED WAWACHAPA REAL MADRID 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top