• HABARI MPYA

    Thursday, August 23, 2018

    SIMBA SC NA TANZANIA PRISONS KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Beki wa Simba SC, Shomari Kapombe akiwa juu kuwania mpira dhidi ya beki wa Tanzania Prisons, James Mwasote katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Simba SC ilishinda 1-0.
    Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga (kulia) akkiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons  
    Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akijaribu kumpita James Mwasote wa Tanzania Prisons                                                  
    Mshambuliaji wa Simba SC na Nahodha, John Bocco akiwatoka mabeki wa Tanzania Prisons  
    Mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Kelvin Friday akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Simba
    Kiungo wa Simba SC, Shiza Kichuya (kulia) akiwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons 
    Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kushoto)akiondoka na mpira  
    Kiungo wa Simba SC, Muzamil Yassin (katikati) akiuwahi mpira dhidi ya beki wa Prisons, Nurdin Chona 
    Kikosi cha Simba SC kabla ya mchezo wa jana 
    Kikosi cha Tanzania Prisons kabla ya mchezo wa jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC NA TANZANIA PRISONS KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top