Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 52 kwa penalti na 80 akimalizia pasi ya Gareth Bale katika ushindi wa 4-1 wa Real Madrid jana dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Sergio Ramos kwa penalti dakika ya 39 na Bale dakika ya 59, wakati la Girona limefungwa na Borja García dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MTN FA Cup: Defending champions Dreams FC set to take on Soccer
Intellectuals in quarterfinals
-
Defending champions Dreams FC will enter the quarterfinals with optimism as
they have been drawn to face Soccer Intellectuals in this season's MTN FA
Cup.T...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment