Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
England rally to 74-3 at lunch on day one of fourth Test in India
-
England managed to rally to 74-3 at lunch on day one of the fourth test
against India as Ben Stokes and Jonny Bairstow combined to steady the ship
after lo...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment