• HABARI MPYA

    Thursday, August 30, 2018

    NIYONZIMA 'ALIPOJOUNGA TENA' NA YANGA SC LEO MJINI KIGALI

    Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIYONZIMA 'ALIPOJOUNGA TENA' NA YANGA SC LEO MJINI KIGALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top