Danny Welbeck akifumua shuti kuifungia Arsenal bao la tatu dakika ya mwisho katika ushindi wa 3-1 dhidi ya West Ham United Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Gunners yamefungwa na Nacho Monreal dakika ya 30 na Issa Diop aliyejifunga dakika ya 70, wakati la WHU limefungwa na Marco Arnautovic dakika ya 25, huo ukiwa ushindi wa kwanza katika mechi ya tatu kwa kocha mpya, Mspaniola Unai Emery aliyemrithi kocha wa muda mrefu wa klabu, Mfaransa Arsene Wenger PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dodgers Star Shohei Ohtani's Signature Logo for New Balance Revealed in
Video
-
Los Angeles Dodgers superstar Shohei Ohtani's official logo with New
Balance was announced in a video on Monday. The video was posted on X by
the MLB's…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment