Kiungo mshambuliaji Mzimbabwe wa Azam FC, Tafadzwa Kutinyu akimtoka beki wa Ndanda FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-0
Beki wa Ndanda FC akimvuta mshambuliaji wa Azam FC, Danny Lyanga kumpunguza kasi
Beki wa Azam FC, Abdallah Kheri akipambana katikati ya wachezaji wa Ndanda
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akipiga shuti wakati amebanwa na wachezaji wa Ndanda FC
Kiungo wa Azam FC, Joseph Mahundi akimtoka beki wa Ndanda
Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Ndanda FC
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment