Kiungo Mbrazil, Lucas Rodrigues Moura da Silva, maarufu tu kama Lucas Moura (kushoto) akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakila za 52 na 84 katika ushindi wa 3-0 wa Tottenham Hotspur dhidi ya Manchester United usiku huu Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Kulia ni mfungaji wa bao lingine la Spurs, Harry Kane dakika ya 50 na hicho ni kipigo cha pili mfululizo, wakitoka kupigwa 3-2 na Brighton & Hove Albion wiki iliyopita baada ya mwanzo mzuri wa ushindi mwembamba wa 2-1 dhidi ya Leicester City nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment