• HABARI MPYA

    Saturday, August 25, 2018

    'KING' SALAH AFIKISHA MABAO 29 MECHI 29 ANFIELD LIVERPOOL IKISHNDA 1-0

    Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Liverpool dakika ya 23 akimalizia pasi ya Roberto Firmino ikiilaza 1-0 Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Hilo linakuwa bao la 29 katika mechi 29 alizocheza Anfield 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: 'KING' SALAH AFIKISHA MABAO 29 MECHI 29 ANFIELD LIVERPOOL IKISHNDA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top