Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Liverpool dakika ya 23 akimalizia pasi ya Roberto Firmino ikiilaza 1-0 Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Hilo linakuwa bao la 29 katika mechi 29 alizocheza Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ronnie O'Sullivan beaten by Ding Junhui at UK Championship
-
Ronnie O'Sullivan's quest for a record-extending eighth UK Championship
comes thrilling end in a 6-4 last-16 defeat against Ding Junhui.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment