• HABARI MPYA

    Tuesday, August 21, 2018

    LIVERPOOL YAICHAPA CRYSTAL PALACE 2-0 ENGLAND

    Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Selhurst Park mjini London, kufuatia James Milner kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 45 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAICHAPA CRYSTAL PALACE 2-0 ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top