Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatatu Uwanja wa Selhurst Park mjini London, kufuatia James Milner kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment