Mshambuliaji anayecheza kwa mkopo Valencia kutoka Chelsea, Michy Batshuayi akiwa na mchezaji mwenzake wa zamani wa The Blues, Diego Costa ambaye sasa anachezea Atletico Madrid baadfa ya wawili hao kukutana kwenye baina ya timu zao za sasa iliyomalizika kwa sare ya 1-1 Uwanja wa Mestalla. Atletico ilitangulia kwa bao la Angel Martin Correa dakika ya 26, kabla ya Rodrigo Moreno Machado kuwasawazishia wenyeji dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment