Kipa mpya wa Liverpool, Alisson Becker akichupia mpira kwenye mazoezi ya timu hiyo leo mjini Evian-les-Bains kusini mashariki mwa Ufaransa, hiyo ikiwa mara yake ya kwanza tangu ajiunge nayo kwa dau la Pauni Milioni 65 kutoka Roma baada ya kung'ara kwenye fainali za Kombe la Dunia akiwa anaidakia timu yake ya taifa, Brazil nchini Urusi mwezi huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy club gets blasted over Mad Monday costumes showing player dressed as
a schoolgirl being sexually assaulted by an AFL star
-
A senior women's football player has walked away from her club after a Mad
Monday stunt involving the men's team.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment