• HABARI MPYA

    Thursday, August 23, 2018

    MOURINHO AKIINGIA HOTELINI BAADA YA MAZOEZI MAN UNITED

    Kocha Jose Mourinho akitabasamu huku ameshikiwa mwavuli wakati anaingia katika hoteli ya Lowry Jumatano usiku baada ya mazoezi ya Manchester United kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Tottenham Uwanja wa Old Trafford Jumatatu ijayo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOURINHO AKIINGIA HOTELINI BAADA YA MAZOEZI MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top