Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza kwa penalti dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. James' Park leo. Bao lingine la Chelsea, DeAndre Yedlin alijifunga dakika ya 87 wakati la Newcastle limefungwa na Joselu dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment