Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akisikitika baada ya kugongesha mwamba shuti lake akiwa jirani na lango la Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands timu hizo zikitoka sare ya 1-Willy Boly alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 57 tu, kabla ya Aymeric Laporte kuisawazishia Man City dakika ya 69, kocha Pep Guardiola akipunguzwa kasi baada ya kushinda mechi mbili mfululizo za mwanzo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Browns' Baker Mayfield Claims He 'Saw a UFO' While Driving from Dinner
-
The Cleveland Browns are generally regarded as a down-on-their-luck
organization, but an alien abduction after they finally found a franchise
quarterback w...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment