Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Nahodha wa Simba SC, John Bocco (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akimchenga mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana
Dreams FC coach Vladislav Viric proud of his players after return to victory against Ashantigold
-
Dreams FC coach Vladislav Viric has praised his players mentality after
returning to winning ways in their victory over Ashantigold.The ‘Still
Believe†...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment