Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Nahodha wa Simba SC, John Bocco (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akimchenga mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment