• HABARI MPYA

    Friday, August 24, 2018

    YANGA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Beki wa Yanga SC, Andrew Vincent 'Dante' akiruka juu kuondoa mpira kweye himaya ya mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Kelvin Sabato katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana usiku Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam 
    Mshambuliaji wa Yanga, Eretier Makambo (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Mtibwa Sugar, Hassan Isihaka
    Kiungo wa Yanga SC, Mrisho Ngassa akimtoka kiungo wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma 
    Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akimruka beki wa Mtibwa Sugar, Ally Shomari
    Kiungo wa Yanga SC, Feisal Salum (kulia) akiudhibiti mpira dhidi ya kiungo wa Mtibwa Sugar, Ismail Muhesa 
    Beki wa Mtibwa Sugar, Hassan Isihaka akiondoa mpira kwenye hatari dhidi ya Eretier Makambo wa Yanga
    Kiungo wa Yanga SC, Ibrahim Ajib (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita kiungo wa Mtibwa Sugar, Ismail Muhesa 
    Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Kelvin Sabato akimiliki mpira mbele ya beki na Nahodha wa Yanga SC, Kelvin Yondan  
    Kikosi cha Yanga SC kilichoanza jana dhidi ya Mtibwa Sugar 
    Kikosi cha Mtibwa Sugar kilichoanza jana dhidi ya Yanga
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA MTIBWA SUGAR KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top