Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na Marcelo wakiinua Kombe la Bernabeu baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Karim Benzema dakika ya pili, Gareth Bale dakika ya 45 na ushei na Borja Mayoral dakika ya 90 na ushei, wakati la Milan limefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea activate break clause to RECALL £15m star from Borussia Dortmund
loan - and mark sale of one of their players as 'impossible'
-
The Blues are bringing the former Boca Juniors centre back, who only has
one appearance for the club as a substitute in last summer's Club World
Cup, back ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment