• HABARI MPYA

    Sunday, August 12, 2018

    REAL MADRID WAIPIGA AC MILAN 3-1 NA KUTWAA KOMBE LAO

    Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na Marcelo wakiinua Kombe la Bernabeu baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Karim Benzema dakika ya pili, Gareth Bale dakika ya 45 na ushei na Borja Mayoral dakika ya 90 na ushei, wakati la Milan limefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya nne 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID WAIPIGA AC MILAN 3-1 NA KUTWAA KOMBE LAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top