Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na Marcelo wakiinua Kombe la Bernabeu baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Karim Benzema dakika ya pili, Gareth Bale dakika ya 45 na ushei na Borja Mayoral dakika ya 90 na ushei, wakati la Milan limefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
REVEALED: Chiefs star Rashee Rice is working with renowned wide receiver
coach as he continues to prepare for 2024 NFL season despite police
investigation into 119mph crash
-
A video showing Kansas City Chiefs wide receiver Rashee Rice preparing for
the 2024 season has been making the rounds on social media.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment