Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wenzake, Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita (kulia) baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 19 na Daniel Sturridge dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A.J. Brown sparks Patriots trade rumors after he changes profile picture to
Tom Brady... but Eagles receiver says there's nothing in him honoring the
'greatest ever'
-
Eagles star A.J. Brown sparked trade rumors on Thursday when he changed his
profile picture on social media to Tom Brady.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment