Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wenzake, Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita (kulia) baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 19 na Daniel Sturridge dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gregg Popovich Makes Rare Public Appearance After Hospitalization, Gets
Standing Ovation from Fans at NBA Game
-
Popovich suffered a mild stroke in November 2024 and was hospitalized again
in April 2025
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment