Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wenzake, Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita (kulia) baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 19 na Daniel Sturridge dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf analysts issue smug response to reports of 'imminent demise'...
before broadcast humiliatingly crashes
-
The Saudi-backed rebel tour was thrown into chaos on Wednesday amid fierce
claims that it could be scrapped, with execs meeting in New York City for
an eme...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment