• HABARI MPYA

    Sunday, August 19, 2018

    MTENDAJI MKUU AZAM FC AKUTANA NA MASHABIKI KUPANGA MIKAKATI

    Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (kulia) akiwa na mmoja wa mashabiki maarufu wa klabu, Issa Azam wakati wa mkutano wa kupanga mikakati ya kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara wiki ijayo
    Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (kulia) akifurahia na mashabiki na Meneja, Philippo Alando
    Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (kulia) akiwa na Meneja, Philippo Alando
    Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' akiwa na Meneja Philipo Alando
    Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (katikati) akizungumza na mashabiki
    Hii ni picha ua pamoja ya mashabiki na viongozi wa Azam FC baada hya mkutano
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTENDAJI MKUU AZAM FC AKUTANA NA MASHABIKI KUPANGA MIKAKATI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top