Glenn Murray akiifungia bao la kwanza Brighton & Hove Albion dakika ya 35 ikishinda 3-2 dhidi ya Manchester United leo Uwanja wa AMEX katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Brighton yamefungwa na Shane Duffy dakika ya 27 na Pascal Gross dakika ya 44, wakati ya Man United yamefungwa na Romelu Lukaku dakika ya 34 na Paul Pogba kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot has been compared to Pep Guardiola, is 'the most attack-minded
coach in the Netherlands since Johan Cruyff' and 'holds all the power at
Feyenoord'... what Liverpool fans can expect if he replaces Jurgen Klopp
-
Replacing Jurgen Klopp won't be an easy job, but in Arne Slot, the Reds
might find a strong solution to an unenviable task.Slot has emerged as a
strong con...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment