Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger, Morocco. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique 42 na Ousmane Dembele dakika ya 78, baada ya Pablo Sarabia kutangulia kuifungia Sevilla dakika ya tisa tu. Kipa wa Barca, Marc-Andre ter Stegen akaokoa penalti ya dakika ya mwisho ya Wissam Ben Yedder kuihakikishia Barca taji la kwanza la msimu katika ardhi ya Afrika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
If Aaron Rodgers wants to play, Steelers' hire of Mike McCarthy reboots an
option for the QB
-
Those familiar with the pair have told Yahoo Sports in recent months that
the rekindled admiration is real. But burying the hatchet in the NFL
guarantees n...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment