• HABARI MPYA

    Monday, August 13, 2018

    BARCA WAIPIGA SEVILLA 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA HISPANIA AFRIKA

    Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger, Morocco. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique 42 na Ousmane Dembele dakika ya 78, baada ya Pablo Sarabia kutangulia kuifungia Sevilla dakika ya tisa tu. Kipa wa Barca, Marc-Andre ter Stegen akaokoa penalti ya dakika ya mwisho ya Wissam Ben Yedder kuihakikishia Barca taji la kwanza la msimu katika ardhi ya Afrika 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCA WAIPIGA SEVILLA 2-1 NA KUBEBA SUPER CUP YA HISPANIA AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top