Wachezaji wa Barcelona wakifurahia na taji lao la Super Cup ya Hispania baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla jana Uwanja wa Grand Stade de Tanger mjini Tanger, Morocco. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Gerard Pique 42 na Ousmane Dembele dakika ya 78, baada ya Pablo Sarabia kutangulia kuifungia Sevilla dakika ya tisa tu. Kipa wa Barca, Marc-Andre ter Stegen akaokoa penalti ya dakika ya mwisho ya Wissam Ben Yedder kuihakikishia Barca taji la kwanza la msimu katika ardhi ya Afrika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Anthony Rizzo wears a Taylor Swift hoodie to their game on
same day as release of The Tortured Poets Department... after he previously
used her track as his walk-up song
-
Rizzo, the Yankees' first baseman, supported Swift's new album by wearing a
black hoodie with a collage of the singer's pictures before his team hosted
the...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment