Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 25, 35 na 75 katika ushindi wa 6-1 wa Manchester City dhidi ya Huddersfield United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad leo. Mabao mengine ya City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 31, David Silva dakika ya 48 na Terence Kongolo aliyejifunga dakika ya 84, wakati la Huddersfield United yamefungwa na Jon Stankovic dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool boss Jurgen Klopp admits only 'a crisis' at Man City and Arsenal
can save their title hopes after derby defeat... as captain Virgil van Dijk
questions his side's hunger
-
LEWIS STEELE AT GOODISON PARK: Jurgen Klopp apologised for Liverpool's
abject performance in their first Merseyside Derby defeat at Everton since
2010.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment