• HABARI MPYA

    Sunday, August 19, 2018

    MANJI AREJEA RASMI YANGA NA KUSABABHI MASHABIKI

    Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akipunga mkono kusabahi mashabiki Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jioni ya leo baada ya kuwasili kwa ajili ya kuushuhudia mchezo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria unaotarajiwa kuanza Saa 1:00 usiku



    Kabla ya kupanda jukwaani, Manji aliingia vyumbani kuzungumza na wachezaji

    Mashabiki wa Yanga wakifurahia baada ya kumuona tena Mwenyekiti wao, Manji aliyejiuzulu Mei mwaka jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANJI AREJEA RASMI YANGA NA KUSABABHI MASHABIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top