Nyota wa Senegal, Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao matatu dakika za 25, 53 na 85 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, FC Porto kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Do Dragao mjini Porto, Ureno. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 29 na Roberto Firmino dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Expert reveals why Man United's fall down football's Money League could be
a huge blow to their fans - and how rivals Liverpool leapfrogged them
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY JAMES SHARPE: Even through the club boasted record
revenues last year of almost £666m, their dismal on-field showings have
left them...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment