Nyota wa Barcelona, Sergi Roberto akikabidhiwa jezi yenye maandishi ya mkataba mpya aliosaini ambao utauweka katika klabu hiyo hadi mwaka 2022 na klabu ikimtaka italazimika kumnunua kwa Pauni Milioni 440. Hii inazima tetesi za mchezaji huyo kutaka kwenda kuungana na kocha wa zamani wa Barca, Pep Guardiola katika klabu ya Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Pavelich, Star on 1980 'Miracle on Ice' Hockey Team, Dies at Age 63
-
Hockey player Mark Pavelich, best known for being a member of the 1980
United States Olympic team, died at the age of 63...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment