Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia na mchezaji mwenzake wa muda mrefu, Andres Iniesta baada ya ushirikiano wao kuipatia timu bao la kusawazisha dakika ya 75 katika sare ya 1-1 na Chelsea kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Stamford Bridge, London. Chelsea ilitangulia kwa bao la kiungo wake Mbrazil, Willian dakika ya 62 akimalizia kazi nzuri kiungo Mbelgiji, Eden Hazard kabla ya kuisawazishia Barca PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chiefs kicker Harrison Butker reveals why he wore pro-life tie in front of
Joe Biden at Kansas City's Super Bowl celebration at the White House
-
During last year's Super Bowl celebration at the White House, Kansas City
Chiefs kicker Harrison Butker wore a pro-life tie in front of Joe Biden in
protes...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment