• HABARI MPYA

    Sunday, February 25, 2018

    LUKAKU AFUNGA LA KUSAWAZISHA, ASETI LA USHINDI MAN UNITED YATOKA NYUMA NA KUIPIGA CHELSEA 2-1

    Mshambuliaji Romelu Lukaku (katikati) akiwa amewarukia wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao moja dakika ya 39 na kumsetia Jesse Lingard aliyefunga bao la pili dakika ya 75 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Chelsea iliyotangulia kwa bao la Willian dakika ya 32 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AFUNGA LA KUSAWAZISHA, ASETI LA USHINDI MAN UNITED YATOKA NYUMA NA KUIPIGA CHELSEA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top