Mshambuliaji Romelu Lukaku (katikati) akiwa amewarukia wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao moja dakika ya 39 na kumsetia Jesse Lingard aliyefunga bao la pili dakika ya 75 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Chelsea iliyotangulia kwa bao la Willian dakika ya 32 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana winger Fatawu Issahaku disappointed after Leicester FA Cup exit
-
Abdul Fatawu Issahaku has expressed disappointment following Leicester
City's FA Cup exit after a late defeat to Chelsea at Stamford Bridge. The
20-year-o...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment