Mshambuliaji Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu peke yake dakika za tano, 44 na 76 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Girona kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Lionel Messi mawili dakika za 30 na 36 na Philippe Coutinho dakika ya 66, wakati la Girona limefungwa na Cristian Portu dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
North Carolina Upsets No. 11 Florida State to Give Roy Williams 900th Career Win
-
UNC freshman forward Walker Kessler posted 20 points on 9-of-10 shooting,
eight rebounds and four blocks off the bench to lead the unranked Tar Heels
to a ...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment