Marco Asensio akipongezwa na wachezaji wenzake Cristiano Ronaldo (katikati), Gareth Bale (kushoto) na Sergio Ramos (kulia) usiku wa jana baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza kati ya mawili katika ushindi wa 5-3 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Real Betis Uwanja wa Benito Villamarín mjini Sevilla. Asensio alifunga dakika za 11 na 59, wakati mabao mengine yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 50, Cristiano Ronaldo dakika ya 65 na Karim Benzema dakika ya 90 na ushei na ya Betis yalifungwa na Aissa Mandi dakika ya 33, Jose Ignacio Fernandez Iglesias 'Nacho' aliyejifunga dakika ya 37 na Sergio Leon dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment