Kocha wa AC Milan, Gennaro Gattuso akitembea kibabe baada ya timu ya kushinda 2-0 ugenini jana dhidi ya wenyeji, Roma Uwanja wa Olimpico mabao ya Patrick Cutrone dakika ya 48 na Davide Calabria dakika ya 74 katika mchezo wa Serie A, Italia. Milan watakutana na Arsenal ya kocha Mfaransa, Arsene Wenger katika 16 Bora ya UEFA Europa League wiki ijayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Queensland Government 'consider SCRAPPING the Brisbane 2032 Olympic Games'
after public backlash... but are warned pulling out will cost $500MILLION
-
9News has reported that the Queensland discussed the possibility of pulling
out of hosting duties, in a move that would send shockwaves throughout the
spor...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment