Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akipiga penalti kuifungia Atletico Madrid dakika ya 51 kukamilisha hat trick yake katika ushindi wa 5-2 dhidi ya wenyeji, Sevilla kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ramón Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine alifunga dakika za 42 na 81, wakati Diego Costa alifunga dakika ya 29 na Koke dakika ya 65, huku mabao ya wenyeji yakifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 85 na Nolito dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Payton Talks Michael Jordan's 'The Last Dance,' Kobe Bryant in B/R AMA
-
Gary Payton is widely regarded as one of the best NBA players from the
1990s. He's best known for his 13-year tenure with the Seattle SuperSonics
from 1990...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment