Wachezaji wa Simba, beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) na kiungo Said Ndemla (kushoto) wakiwa kwenye ufukwe wa bahari mjiji Djibouti City baada ya mazoezi leo asubuhi kabla ya safari ya kurejea Dar es Salaam kufuatia jana kuwafunga wenyeji, Gendarmerie Tnare 1-0 katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 baada ya ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani
Australia withdraw from Afghanistan T20 series
-
Australia withdraw from their men's T20 series against Afghanistan in
August because of continued restrictions on women and girls under the
ruling Taliban ...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment