Wachezaji wa Simba, beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) na kiungo Said Ndemla (kushoto) wakiwa kwenye ufukwe wa bahari mjiji Djibouti City baada ya mazoezi leo asubuhi kabla ya safari ya kurejea Dar es Salaam kufuatia jana kuwafunga wenyeji, Gendarmerie Tnare 1-0 katika mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 baada ya ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani
Ben Foster calls ex-Chelsea striker Diego Costa a 'filthy RAT' and Nemanja Vidic 'a sicko'
-
Foster, who spent five years at Man United, has opened up on his days in
the Premier League, naming his least favourite opponent ever, the biggest
hardman ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment