Mshambuliaji Mreno Cristiano Ronaldo (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Gareth Bale baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 44 na 61 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Deportivo Alaves leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Gareth Bale dakika ya 46 na Karim Benzema dakika ya 89 kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment