Wapenzi wa klabu ya Simba wakiwa wamembeba mwenzao wa kike aliyepoteza fahamu jana wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbao FC Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 5-0
Kama anavyoonekana dada huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja akiwa taabani
Hapa wanambeba wanampeleka kwenye zahanati ndogo ya Uwanja wa Taifa
Kwa umoja wa hali ya juu, wapenzi wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wenye raha jana kutokana na ushindi mnono wa 5-0
Kobbie Mainoo to STAY at Man United after being restored to the first team
by Michael Carrick - despite pushing to leave for European giant under
Ruben Amorim
-
SIMON JONES: The 20-year-old was pushing to leave for Napoli on loan after
being restricted to substitute appearances under Ruben Amorim.
56 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment