Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment