Kevin Gameiro akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao pekee la ushindi dakika ya saba tu ikiwalaza Copenhagen 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora UEFA Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid na kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 4-1 kwenye mchezo wa kwanza nchini Denmark PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emmanuel Acho Announces He'll Host The Bachelor's 'After the Final Rose' Show
-
Former NFL player and current Fox Sports analyst Emmanuel Acho is going to
be hosting The Bachelor special "After the Final Rose" on March 15...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment