Ofisa wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jemadari Said (kushoto) akimkabidhi mshambuliaji na Nahodha wa Simba, John Bocco tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwa mwezi Januari mwaka huu
John Bocco ambaye ni majeruhi kwa sasa, alikabidhiwa tuzo hiyo pamoja na king'amuzi cha Azam TV kabla ya mchezo wa Ligi Kuu baina ya timu yake, Simba SC na Mbao FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba imeshinda 5-0
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
54 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment