Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Kassim Majaliwa (katikati) akimskiliza Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Giovanni Vincenzo ‘Gianni’ Infantino alipomkaribisha ofisini kwake, Magogoni, Dar es Salaam jana. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Ahmad
Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa akimsikiliza Rais wa CAF, Ahmad. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe na kushoto Rais wa FIFA, Gianni Infantino
Dk. Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya kiwango Rais wa CAF, Ahmad raia wa Madagascar
Hapa Gianni Infantino akiteta jambo na Ahmad ukumbi wa mikutano, Ofisi ya Waziri Mkuu
Mtaliano Gianni Infantino (kulia) na Ahmad wakisoma hotuba ya Dk Kassim Majaliwa iliyotafsiriwa Kiingereza kutoka Kiswahili
Waziri Mkuu, Dk Kassim Majaliwa akihutubia kwa Kiswahili jana
Gianni Infantino alimkabidhi jezi Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa
Jezi namba tisa (9) tena yenye jina, Majaliwa ndiyo Rais huyo wa FIFA alimkabidhi Waziri Mkuu wa Tanzania
Gianni Infantino akimkabidhi zawadi nyingine Waziri Mkuu, Majaliwa jana
Waziri wa Habari 'Mtanashati' Dk Harrison Mwakyembe akiwaongoza kuondioka ukumbini Gianni Infantino na Ahmad baada ya mkutano na Waziri Mkuu. Wawili hao walikuwa nchini tangu juzi hadi jana kwa ajili ya Semina ya FIFA iliyofanyika Dar es Salaam ikishirikisha nchi 21 duniani, wakiwemo wenyeji, Tanzania
Footy great thought he was going to die when he saved teen from drowning in
a rip: 'I'm not going to make it'
-
Former Manly rugby league star Charlie Haggett has revealed how he thought
he'd drown at a NSW beach after saving a distressed boy who was caught in a
dang...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment