Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 83 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 3-1 dhidi ya Paris Saint-Germain katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa wa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Bao lingine la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 86, baada ya PSG kutangulia kwa bao la mapema laAdrien Rabiot dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Expert reveals why Man United's fall down football's Money League could be
a huge blow to their fans - and how rivals Liverpool leapfrogged them
-
EXCLUSIVE INTERVIEW BY JAMES SHARPE: Even through the club boasted record
revenues last year of almost £666m, their dismal on-field showings have
left them...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment