Isaac Drogba (kushoto), mwenye umri wa miaka 17, mtoto wa gwiji wa soka, Didier Drogba akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, Guingamp ya Ligue 1 jana moja ya timu alizochezea baba yake mwanzoni mwa maisha yake ya soka nchini Ufaransa. Drogba mkubwa alijiunga na Guingamp akiwa ana umri wa miaka 16 tu kwa ada ya uhamisho ya Pauni 80,000 kutoka Le Mans PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Borussia Dortmund dealt Jadon Sancho blow with winger ruled out of Bayern Munich clash
-
Dortmund suffered a major blow on Friday when Jadon Sancho, Raphael
Guerreiro and Giovanni Reyna were ruled out of Saturday's game with
reigning champions ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment