Ngumi ya George Groves ikiwa imewasili kwenye uso wa mpinzani wake, Chris Eubank Jr wakati wa pambano la fainali ya World Boxing Super Series usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Manchester Arena. Groves alishinda kwa uamuzi wa majaji wote, pointi 117-112, 116-112 na 115-113 na kutetea ubingwa wake wa dunia wa WBA baada ya raundi 12 kali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham 2-0 Borussia Dortmund: Spurs fizz with energy and finally cut
loose in attack to see off 10-man visitors and offer beleaguered Thomas
Frank lifeline
-
MATT BARLOW AT TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: After the toxic meltdown defeat
at the hands of West Ham, there were very few who expected to feast upon
these he...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment