Leon Goretzka akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili jana dakika za nane na 66 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Azerbaijan kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Fritz-Walter mjini Kaiserslautern. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Sandro Wanger dakika ya 54, Antonio Rudiger dakika ya 64 na Emre Can dakika ya 81, wakati la Azerbaijan limefungwa na Ramil Sheydaev dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roger Goodell Explains NFL's Stance on Chiefs WR Rashee Rice's Future After
Car Crash
-
NFL Commissioner Roger Goodell explained Thursday that the league is
waiting for the legal process to play out in regards to Kansas City Chiefs
wide receiver…
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment