Leon Goretzka akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani mabao mawili jana dakika za nane na 66 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Azerbaijan kwenye mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Fritz-Walter mjini Kaiserslautern. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Sandro Wanger dakika ya 54, Antonio Rudiger dakika ya 64 na Emre Can dakika ya 81, wakati la Azerbaijan limefungwa na Ramil Sheydaev dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jesse Lingard opens up on escaping the 'noise' of Manchester for South
Korea, eating LIVE octopus - and gives update on his future
-
When Jesse Lingard ditched England for a 5,000 mile switch to South Korea
in February 2024, it's fair to say that an eyebrow - or two - was raised.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment