Kipa Mghana wa Azam FC, Razack Abalora baada ya kuwasili mkoani Dodoma asubuhi ya leo kwa mapumziko ya mafupi kabla ya kesho asubuhi kuendelea na safari kwenda Shinyanga ambako Jumamosi watakuwa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mwadui FC
Mshambuliaji Mbaraka Yussuf akielekea kwenye hoteli ya African Conference Centre ambako Azam FC ilifikia pia wiki mbili zilizopita ilipokwenda kucheza na Singida United na kutoa sare ya bao 1-1
Nahodha Himid Mao akielekea hotelini baada ya kuteremka kwenye basi
Beki Mghana, Yakubu Mohammed akiteremka kwenye basi
Kocha Mromania, Aristica Cioaba wakati timu inaondoka Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam Alfajiri ya leo
Peter Schrager: NFL Teams Reached Out After J.J. McCarthy, Giants Trade in
Mock Draft
-
NFL fans aren't the only ones paying attention to mock drafts. The teams
are as well. NFL Media's Peter Schrager released a mock draft Tuesday and
projected…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment