Kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (kulia) akimiliki mpira mbele ya kiungo wa African Lyon, Omar Abdallah katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-1
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akiwania mpira dhid ya mchezaji wa African Lyon
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kushoto) akiwania mpira dhidi ya mchezaji wa African Lyon
Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib akimtoka mchezaji wa African Lyon
Winga wa Simba, Shizza Kichuya (kulia) akimgeuza beki wa African Lyon
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akitafuta maarifa ya kumpita beki wa African Lyon, Hassan Isihaka
Kocha Msaidizi wa Simba, Jackson Mayanja (kulia) akiwapa mbinu mbadala wachezaji wake jana
Kutoka kulia ni Kocha wa Singida United, Mholanzi Hans van der Pluijm, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe na mpenzi wa Simba, Hamisi Mngeja
Kikosi cha African Lyon jana
Kikosi cha Simba jana
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment